I FOUND THIS MESSAGE VERY USEFUL
AND WORTH SHARING!
The qualifications that gave you a job are the same qualifications someone has, but doesn't have a job.......
*Be grateful.*
_The prayer God answered for you, is the same prayer others have been saying without success yet......._
*Be grateful.*
_The road you use safely on a daily basis is the same road many others died on......._
*Be grateful.*
_The place which you worship and God blessed you, is the same place other people worship in but their lives are still in shambles......._
*Be grateful.*
_The bed you used in the hospital, got healed and discharged, is the same bed many other people died on...._
*Be grateful.*
_The same rain that made your field produce good crops, is the same rain that destroyed someone's field...._
*Be grateful.*
_Be grateful because whatever you have is not by your power, your might, or your qualifications, but rather by the Grace of the Almighty God
Remember! He is the *Giver of everything* you have.
**_BE GRATEFUL_**
*Beautiful Message*.
A rich man looked through his window and saw a poor man picking something from his dustbin ... He said, Thank GOD I'm not poor.
The poor man looked around and saw a naked man misbehaving on the street ... He said, Thank GOD I'm not mad.
The mad man looked ahead and saw an ambulance carrying a patient ... He said, Thank GOD I'm not sick.
Then a sick person in hospital saw a trolley taking a dead body to the mortuary ... He said, Thank GOD I'm not dead.
Only a dead person cannot thank God.
Why don't you thank GOD today for all your blessings and for the gift of life ... for another beautiful day.
*What is LIFE*?
To understand life better, you have to go to 3 locations :
*1. Hospital*
*2. Prison*
*3. Cemetery*
At the Hospital, you will understand that nothing is more beautiful than HEALTH.
In the Prison, you'll see that FREEDOM is the most precious thing.
At the Cemetery, you will realize that LIFE is precious. The ground that we walk today will be our roof tomorrow.
Sad Truth* : We all come with *Nothing* and we will go with *Nothing* ... Let us, therefore, remain humble and be thankful & grateful to God at all times for everything.
Could you please share this with someone else, and let them know that God loves them ?
____________________
pokeaeli.blogspot.com ____________
_The bed you used in the hospital, got healed and discharged, is the same bed many other people died on...._
*Be grateful.*
_The same rain that made your field produce good crops, is the same rain that destroyed someone's field...._
*Be grateful.*
_Be grateful because whatever you have is not by your power, your might, or your qualifications, but rather by the Grace of the Almighty God
Remember! He is the *Giver of everything* you have.
**_BE GRATEFUL_**
*Beautiful Message*.
A rich man looked through his window and saw a poor man picking something from his dustbin ... He said, Thank GOD I'm not poor.
The poor man looked around and saw a naked man misbehaving on the street ... He said, Thank GOD I'm not mad.
The mad man looked ahead and saw an ambulance carrying a patient ... He said, Thank GOD I'm not sick.
Then a sick person in hospital saw a trolley taking a dead body to the mortuary ... He said, Thank GOD I'm not dead.
Only a dead person cannot thank God.
Why don't you thank GOD today for all your blessings and for the gift of life ... for another beautiful day.
*What is LIFE*?
To understand life better, you have to go to 3 locations :
*1. Hospital*
*2. Prison*
*3. Cemetery*
At the Hospital, you will understand that nothing is more beautiful than HEALTH.
In the Prison, you'll see that FREEDOM is the most precious thing.
At the Cemetery, you will realize that LIFE is precious. The ground that we walk today will be our roof tomorrow.
Sad Truth* : We all come with *Nothing* and we will go with *Nothing* ... Let us, therefore, remain humble and be thankful & grateful to God at all times for everything.
Could you please share this with someone else, and let them know that God loves them ?
____________________
pokeaeli.blogspot.com ____________
Ijumaa, 1 Juni 2018
Ijumaa, 27 Aprili 2018
KANTANTE DOMINO. MWIMBIENI BWANA WIMBO MPYA ZAB.98
Zab.98
Maneno ya kwanza ya zaburi hii, kwa lugha ya kilatini yanamaana ya Cantate "Mwimbieni" (O sing) mwendelezo wake Cantate Domino -"Mwimbieni Bwana"
****************
Hii ni Siku ya pekee imefika ambayo tibaitumia katika kukumbushwa wajibu wetu kama wanadamu Kumsifu Mungu na kumtukuza yenye Peke Yake kwa ukombozi wake kwetu.
Wana Wa Israel walipotoka uhamishoni walimtukuza Mungu na kukwa kumwimbia nyimbo kuu za sifa. Kwa vinubi, zeze na kinanda. Walimsifu kwa kutimiza ahadi yake ya ukombozi. 2Nya.36:22-23).
Ahadi ya Mungu aliyoisema kwenye neno lake juu ya kuwa uhamishoni na kukombolewa kurudi kwenye nchi yao ya ahadi imetimia na sasa wanamtukuza.
Kwenye kitabu cha Kutoka.15 tunaona namna Musa na wana waisrael walivyomsifu Mungu kwa jinsi alivyowatoa utumwani.
Isa. 42:16 ...ni mwendelezo Wa ahadi ambayo hata sasa tunaiona imetimia kwa Yesu Kristo. Kutufia msalabani na kufufuka kwaajili ya wokovu wetu.
Tunayobudi kumsifu Mungu kwa Upendo wake kwetu.
Wengine wanauliza nitawezaje kusifu wakati nipo kwenye shida na majonzi.
Mungu anasema anakaa juu ya sifa za watu wake. Hii inatupa uhakika kwamba katikati ya Sifa Mungu anashuka na kushughulika na mahitaji yetu. Wengine wagonjwa wengine wana dhiki kuu. Sio mpaka uwekewe mikono ila kupitia sifa na kumwabudu Mungu basi yeye Mungu,hushuka na kutuponya.
Kuanzia Leo badili mtazamo wako kuu ya kusifu kwamba ni wakati Wa furaha tu! LA wakati ule unapokuwa huwezi kabisa na upo katikati ya dhiki kuu, vifungo vimekuandama mawazo yamekuwa mengi, huoni njia, ukiomba Maneno yanayotoka ni ya kulaumu tu. Huo ndiyo wakati Wa kumwimbia Bwana wimbo mpya.
Wimbo mpya huleta matumaini ya Wokovu. Matumaini ya kuwa huru tena. Kama ulikuwa umeanguka unapata matumaini ya kuinuka na kusonga mbele. Kama ulikuwa firisika matumaini ya kuwa tajiri tena. Kama ulifukuzwa kazi unapata matumaini ya kurejea kazini tena, kama huna Mtoto unapata matumaini ya kupata watoto. Huna Mume/Mke, familia inaugomvi, watoto hakutii. Katikati ya kumsifu Bwana Unaona kuinuka na kuang'aa tena .
Hitimisho.
Paulo na sila wakamsifu Mungu hadi pingu zika katika. Na milango ya Gereza ikafunguka.
Nawe msifu Mungu sasa utapokea Majibu ya Mungu juu uhitaji ulio nao.
Amen!!
pokeaeli.blogspot.com
christiansforum1.blogspot.com
Maneno ya kwanza ya zaburi hii, kwa lugha ya kilatini yanamaana ya Cantate "Mwimbieni" (O sing) mwendelezo wake Cantate Domino -"Mwimbieni Bwana"
****************
Hii ni Siku ya pekee imefika ambayo tibaitumia katika kukumbushwa wajibu wetu kama wanadamu Kumsifu Mungu na kumtukuza yenye Peke Yake kwa ukombozi wake kwetu.
Wana Wa Israel walipotoka uhamishoni walimtukuza Mungu na kukwa kumwimbia nyimbo kuu za sifa. Kwa vinubi, zeze na kinanda. Walimsifu kwa kutimiza ahadi yake ya ukombozi. 2Nya.36:22-23).
Ahadi ya Mungu aliyoisema kwenye neno lake juu ya kuwa uhamishoni na kukombolewa kurudi kwenye nchi yao ya ahadi imetimia na sasa wanamtukuza.
Kwenye kitabu cha Kutoka.15 tunaona namna Musa na wana waisrael walivyomsifu Mungu kwa jinsi alivyowatoa utumwani.
Isa. 42:16 ...ni mwendelezo Wa ahadi ambayo hata sasa tunaiona imetimia kwa Yesu Kristo. Kutufia msalabani na kufufuka kwaajili ya wokovu wetu.
Tunayobudi kumsifu Mungu kwa Upendo wake kwetu.
Wengine wanauliza nitawezaje kusifu wakati nipo kwenye shida na majonzi.
Mungu anasema anakaa juu ya sifa za watu wake. Hii inatupa uhakika kwamba katikati ya Sifa Mungu anashuka na kushughulika na mahitaji yetu. Wengine wagonjwa wengine wana dhiki kuu. Sio mpaka uwekewe mikono ila kupitia sifa na kumwabudu Mungu basi yeye Mungu,hushuka na kutuponya.
Kuanzia Leo badili mtazamo wako kuu ya kusifu kwamba ni wakati Wa furaha tu! LA wakati ule unapokuwa huwezi kabisa na upo katikati ya dhiki kuu, vifungo vimekuandama mawazo yamekuwa mengi, huoni njia, ukiomba Maneno yanayotoka ni ya kulaumu tu. Huo ndiyo wakati Wa kumwimbia Bwana wimbo mpya.
Wimbo mpya huleta matumaini ya Wokovu. Matumaini ya kuwa huru tena. Kama ulikuwa umeanguka unapata matumaini ya kuinuka na kusonga mbele. Kama ulikuwa firisika matumaini ya kuwa tajiri tena. Kama ulifukuzwa kazi unapata matumaini ya kurejea kazini tena, kama huna Mtoto unapata matumaini ya kupata watoto. Huna Mume/Mke, familia inaugomvi, watoto hakutii. Katikati ya kumsifu Bwana Unaona kuinuka na kuang'aa tena .
Hitimisho.
Paulo na sila wakamsifu Mungu hadi pingu zika katika. Na milango ya Gereza ikafunguka.
Nawe msifu Mungu sasa utapokea Majibu ya Mungu juu uhitaji ulio nao.
Amen!!
pokeaeli.blogspot.com
christiansforum1.blogspot.com
Jumatano, 14 Machi 2018
TUTUNZE UUMBAJI
TUTUNZE UUMBAJI
Mwanzo 1:24-25
π²π³π΄πΎπππ
Kwa harakaharaka KILA mmoja hakosi maana nzuri ya neno UUMBAJI.
Ila ukisoma mistari hiyo inaonyesha wazi kwamba vyote tunavyoviona; binadamu, wanyama, ndege, samaki, anga, jua, mwezi, nyota, milima ,mabonde, nk. Na vingine Vingi tusivyo viona vyote ni UUMBAJI._*
πΎ Watu wengi wanapokutana na neno =UUMBAJI= πΏπ³π΄Huangalia mazingira yanayowazunguka pasipo kukumbuka hata wao wenyewe ni sehemu ya UUMBAJI Wa Mungu.
=>Tunaamini ya kwamba kwa siku Sita Mungu aliumba vyote vinavyoonekana na visivyooneka. Na baada ya kumaliza Mungu akaona vyote kuwa ni #Vyema
πππππ΄πΊπππππππΏπ΄π²π³ππΎπΉπ
✅soma Mwa.1:25b
Mungu akaona yakuwa ni vyema
Mwa.1:31
"Mungu akaona KILA kitu alichokifanya, na tazama, ni chema sana..."
Swali ni kwamba kwanini sasaivi kuna chema na kibaya???!
ππ
ππ Embu tuendelee taratibu tutapata majibu..
"Wajibu Wa kwanza Wa Mwanadamu(Adamu&Hawa)"
Kutiisha,(kuitunza) na kutawala
✅ Soma MWA.1:28.
AHAA!! KUMBE
Mungu baada ya kuumba vyote na kuviona kuwa ni vyema alimkabidhi Mwanadamu wajibu Wa kuhakikisha uzuri Wa uumbaji haupotei.... Ohoo
Mwanadamu tokea hapo alikuwa responsible na KILA kinachoendelea kwenye UUMBAJI Wa Mungu.!!!
ππΈπ: Mwanadamu akawa mtawala, juu ya uumbaji.
"Maana ya mtawala ni kwamba hakuna kinachoweza kufanyika ndani ya himaya yake pasipo idhini yake. Yaani yeye kuridhia".
aha ndiyo maana hata kuwapa majina wanyama alifanya adamu na sio MTU mwingine
✅Soma Mwa.2:20b
π₯π΄ππΊππππ’ππππ¬π³ππKwasababu ya Mwanadamu Uumbaji ulibadilika. Wajibu Wa kwanza Wa Mwanadamu ni "Kuilima nchi" yaani kutiisha na kutawala.
ππππππ₯π☘πΏπ±π΄πππΎπΎππ³π²ππ΅π¦πΏπππ©ππ
Mf. Wa uumbaji na Mwanadamu ni huu Wa kijana mmoja aliyekuwa anapendwa sana na Baba yake.
πAlipomaliza kidato cha nne, hakufaulu na ndipo Baba yake akamnunulia Bodaboda (Pikipiki) akamwambia Pikipiki hii nimenunia kwa gharama yangu lakini nakupa mwanangu Bure. Itunze na uitawale hii ni yako kwaajili ya kujipatia kipato na ada ya kuendelea na chuo.
Pikipiki ilikuwa mpya ila baada ya muda kidogo kijana yule anairudisha Pikipiki nyumbani ikiwa mbovu. Na baba yake anamwuliza KULIKONI!???
Kijana huyo ndiye Mwanadamu.
Mwanadamu ameshindwa kuutunza uumbaji Ambao Mungu amewapa kama Zawadi Toka kwake.
πΉπΉπΉππΈπ·πΊ
Kumbe sio kwamba kupanda Maua au kupanda miti ndiyo kuitunza uumbaji la hasha. Ila kutenda yanayompendeza Mungu.
Kosa la Mwanadamu linakuwa pigo kwa viumbe wengine wote.
Kumbuka Misri. Ng'ombe, na viumbe wengine wote walipigwa kutokana na kugoma kwa farao kuwaruhusu Waisrael taifa la Mungu kwenda kumwabudu Mungu.
✅ soma Kut.12:12 (hukumu juu ya uumbaji wote Kyle Misri kutokana na dhambi ya farao/Mwanadamu) _"...nami nitawapiga wazaliwa Wa kwanza wote katika nchi ya Misri Wa Mwanadamu na Wa Mnyama, Nami jitafanya hukumu juu ya miungu yote ya Misri"_
✅ Soma Law.18:20-23; 24-25, 27-28
π
Hapa tunaona jinsi dhambi ya zinaa inavyonajisi ardh.
Uasherati, utoaji mimba, na mahusiano ya jinsia moja nk.
Note.
JUU YA KUTUNZA. UUMBAJI Mungu hazungumzii kuhusu Hewa safi/angavu , maji safi ila anahitaji *MAISHA SAFI*
π Unapotenda dhambi unaunajisi uumbaji Wa Mungu.
π Nayo Nchi itakutapika kama wenyeji Wa kanaani
HITIMISHO.
KUTUZA UUMBAJI SIO TUU KUPANDA MITI,MAUA NK. ILA NI KUISHI MAISHA YANAYO MPENDEZA MUNGU. ISHI MAISHA MEMA NA YANAYOMPENDEZA MUNGU NAWE UTAPATA KIBALI MBELE ZA MUNGU NA KWENYE UUMBAJI WAKE. nawe utatawala na kuvitiisha vyote kama ilivyo mapenzi ya Mungu.
_Tafakari hii Imeandaliwa na Mtheologia Johnson Pokeaeli_
Fuatilia zaidi kwenye blog yangu
pokeaeli.blogspot.com
christiansforum1.blogspot.com
Mwanzo 1:24-25
π²π³π΄πΎπππ
Kwa harakaharaka KILA mmoja hakosi maana nzuri ya neno UUMBAJI.
Ila ukisoma mistari hiyo inaonyesha wazi kwamba vyote tunavyoviona; binadamu, wanyama, ndege, samaki, anga, jua, mwezi, nyota, milima ,mabonde, nk. Na vingine Vingi tusivyo viona vyote ni UUMBAJI._*
πΎ Watu wengi wanapokutana na neno =UUMBAJI= πΏπ³π΄Huangalia mazingira yanayowazunguka pasipo kukumbuka hata wao wenyewe ni sehemu ya UUMBAJI Wa Mungu.
=>Tunaamini ya kwamba kwa siku Sita Mungu aliumba vyote vinavyoonekana na visivyooneka. Na baada ya kumaliza Mungu akaona vyote kuwa ni #Vyema
πππππ΄πΊπππππππΏπ΄π²π³ππΎπΉπ
✅soma Mwa.1:25b
Mungu akaona yakuwa ni vyema
Mwa.1:31
"Mungu akaona KILA kitu alichokifanya, na tazama, ni chema sana..."
Swali ni kwamba kwanini sasaivi kuna chema na kibaya???!
ππ
ππ Embu tuendelee taratibu tutapata majibu..
"Wajibu Wa kwanza Wa Mwanadamu(Adamu&Hawa)"
Kutiisha,(kuitunza) na kutawala
✅ Soma MWA.1:28.
AHAA!! KUMBE
Mungu baada ya kuumba vyote na kuviona kuwa ni vyema alimkabidhi Mwanadamu wajibu Wa kuhakikisha uzuri Wa uumbaji haupotei.... Ohoo
Mwanadamu tokea hapo alikuwa responsible na KILA kinachoendelea kwenye UUMBAJI Wa Mungu.!!!
ππΈπ: Mwanadamu akawa mtawala, juu ya uumbaji.
"Maana ya mtawala ni kwamba hakuna kinachoweza kufanyika ndani ya himaya yake pasipo idhini yake. Yaani yeye kuridhia".
aha ndiyo maana hata kuwapa majina wanyama alifanya adamu na sio MTU mwingine
✅Soma Mwa.2:20b
π₯π΄ππΊππππ’ππππ¬π³ππKwasababu ya Mwanadamu Uumbaji ulibadilika. Wajibu Wa kwanza Wa Mwanadamu ni "Kuilima nchi" yaani kutiisha na kutawala.
ππππππ₯π☘πΏπ±π΄πππΎπΎππ³π²ππ΅π¦πΏπππ©ππ
Mf. Wa uumbaji na Mwanadamu ni huu Wa kijana mmoja aliyekuwa anapendwa sana na Baba yake.
πAlipomaliza kidato cha nne, hakufaulu na ndipo Baba yake akamnunulia Bodaboda (Pikipiki) akamwambia Pikipiki hii nimenunia kwa gharama yangu lakini nakupa mwanangu Bure. Itunze na uitawale hii ni yako kwaajili ya kujipatia kipato na ada ya kuendelea na chuo.
Pikipiki ilikuwa mpya ila baada ya muda kidogo kijana yule anairudisha Pikipiki nyumbani ikiwa mbovu. Na baba yake anamwuliza KULIKONI!???
Kijana huyo ndiye Mwanadamu.
Mwanadamu ameshindwa kuutunza uumbaji Ambao Mungu amewapa kama Zawadi Toka kwake.
πΉπΉπΉππΈπ·πΊ
Kumbe sio kwamba kupanda Maua au kupanda miti ndiyo kuitunza uumbaji la hasha. Ila kutenda yanayompendeza Mungu.
Kosa la Mwanadamu linakuwa pigo kwa viumbe wengine wote.
Kumbuka Misri. Ng'ombe, na viumbe wengine wote walipigwa kutokana na kugoma kwa farao kuwaruhusu Waisrael taifa la Mungu kwenda kumwabudu Mungu.
✅ soma Kut.12:12 (hukumu juu ya uumbaji wote Kyle Misri kutokana na dhambi ya farao/Mwanadamu) _"...nami nitawapiga wazaliwa Wa kwanza wote katika nchi ya Misri Wa Mwanadamu na Wa Mnyama, Nami jitafanya hukumu juu ya miungu yote ya Misri"_
✅ Soma Law.18:20-23; 24-25, 27-28
π
Hapa tunaona jinsi dhambi ya zinaa inavyonajisi ardh.
Uasherati, utoaji mimba, na mahusiano ya jinsia moja nk.
Note.
JUU YA KUTUNZA. UUMBAJI Mungu hazungumzii kuhusu Hewa safi/angavu , maji safi ila anahitaji *MAISHA SAFI*
π Unapotenda dhambi unaunajisi uumbaji Wa Mungu.
π Nayo Nchi itakutapika kama wenyeji Wa kanaani
HITIMISHO.
KUTUZA UUMBAJI SIO TUU KUPANDA MITI,MAUA NK. ILA NI KUISHI MAISHA YANAYO MPENDEZA MUNGU. ISHI MAISHA MEMA NA YANAYOMPENDEZA MUNGU NAWE UTAPATA KIBALI MBELE ZA MUNGU NA KWENYE UUMBAJI WAKE. nawe utatawala na kuvitiisha vyote kama ilivyo mapenzi ya Mungu.
_Tafakari hii Imeandaliwa na Mtheologia Johnson Pokeaeli_
Fuatilia zaidi kwenye blog yangu
pokeaeli.blogspot.com
christiansforum1.blogspot.com
Alhamisi, 18 Januari 2018
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)
